header

nmb

nmb

Sunday, March 28, 2010

LEO NI SIKUKUU YA MATAWI WA WAUMINI WA DINI YA KIKRISTO

Dogo akikimbia kwa ajili ya kuvuka Barabara ya Mawenzi huku mkononi akiwa ameshika Tawi kuashiria sikukuu ya Matawi kwa Wakristo
Magari mengi ya mji wa moshi leo yanaonekana kupambwa na tawi moja moja.Pichani ni stendi Kuu ya Mabasi Mjini moshi leo




No comments:

Post a Comment