header

nmb

nmb

Saturday, February 13, 2010

Twendeni tuka jumuike katika tamasha hili leo

MSANII Profesa. J akiwa na wadau mwa globu hii Spear Patrick kushoto na Mzee Peter Mwenda kulia habari maelezo ktk kuzungumzia tamasha la leo mwezi February linaloitwa "zinduka" litakalofanyika katika viwanja vya Leaders’ Club jijini Dar es salaam leo JK Kikwete ndani.

Joseph Haule amesema Tushirikiane Kuitokomeza, kauli inayowataka watanzania kujikinga wao na familia zao dhidi ya malaria.Baadhi ya wasanii walio saini katika uzinduzi huu wa Malaria Haikubaliki ni pamoja na; Kidumu, Diamond, Dully Sykes Marlaw, Professor Jay, Lady Jay Dee, Mwasiti, Bi Kidude, Banana Zoro, Ray C, Maunda Zoro, Tanzania House of Talent (THT) dance troupe, Banana, amini na pipi, Mataluma na R Tony.Tiketi za kuingia kwenye tamasha la zinduka zinauzwa kwa shilingi (3000) na zitapatikana zuzu, Steers -Millenium Tower na Town Outlet
weeeeeeeeeeee karibu uone mambooo

No comments:

Post a Comment