header

nmb

nmb

Thursday, January 28, 2010

Tovuti ya Wizara ya Afrika Mashariki yazinduliwa Dar!!

Katibu Mkuu wa wizara hiyo Dkt. Stergomena Tax, akionesha kalenda ya mwaka 2010 katika Uzinduzi wa Mkataba wa huduma bora kwa Mteja na Uzinduzi wa Tovuti ya Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dar es Salaam jana. Kulia ni Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri la Afrika Mshariki, Dkt. Diodorus Kamala.

No comments:

Post a Comment