header

nmb

nmb

Friday, April 16, 2010

ZAIN YAGAWA ZAWADI YA BLACKBERRY KWA WAANDISHI


Afisa habari wa ZAIN Tanzania Bw. Muganyizi Mutta kulia akimkabidhi zawadi mdau wa Pr Habari Anko Pati kwa niaba ya Bw. Peter Mwenda


Wadau wa Pr Habari wakifurahia zawadi kutoka Zain baada ya kuzawadiwa na Bw. Muganyizi Mutta nje ya jengo la Zain Tanzania ktk ofisi zao zinazosemekana kuwa kubwa zaidi Afrika ya Mashariki


Mtangazaji wa Redio Times Bw. Amir Massare akipokea zawadi ya Blackberry kutoka kwa Afisa habari wa Zain Bw. Mugamuzi Mutta.




No comments:

Post a Comment