Kamanda wa kanda maalum ya DSM Suleiman Kova akionyesha baadhi ya silaha na namba ya gari bandia zilizotumiwa na majambazi hivi karibuni.
Kova kushoto akiwapongeza polisi waliopambana na majambazi hivi karibuni, kulia ni konstebo Mwachumu Haji akipokea Tshs. 300,000
No comments:
Post a Comment