Kaimu Mhariri Mkuu wa Gazeti la Majira Bw. John Mapinduzi akipunga mkono kuwasalimia ndugu, jamaa, na marafiki waliofika kwenye kanisa la KKKT Usharika wa Azania Front kushudia ndoa yao na Bi. Sarah Kila iliyofungwa Dar es Salaam jana. Kulia ni Mpambe wake Bw. Robert Rashid.
No comments:
Post a Comment