header

nmb

nmb

Friday, January 29, 2010

ASANTE BENK YA DUNIA KWA KUIPENDA BONGO

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedhi na Uchumi Bw. Ramadhan (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati wa kutiliana saini ya makubaliano na Benki ya Dunia juu ya mpango wa kusaidia bajeti ya Tanzania kupunguza umasikini na maradhi. Kulia ni Mkurugenzi wa Benki hiyo nchini Bw. John

No comments:

Post a Comment