Miboksi ya konyagi mwitu ikiwa chini ya ulinzi wa polisi
Kova akiomba wadau kufichua watengenezaji konyagi mwitu
Meneja masoko wa Tanzania distilleries akitoa hundi ya msaada kwa bw. Temu kwa ajili ya maendeleo ya mkoa wa Kilimanjaro anayeshuhudia katikati ni bw. Charles Donard
watuhumiwa wa konyagi feki wakiwa chini ya ulinzi wa polisi, tatizo hilo kwa sasa limemalizika jijini
Msambazaji wa konyagi bw. Mwaigomole akisalimiana na wachezaji walioshiriki ligi ya mbunge wa bagamoyo iliyofanyika uwanja wa mwanakalenga jijini bagamoyo, kampuni ya Tanzania Distillaries ni wadhamini wakubwa wa kombe hilo.
moja ya timu iliyoshiriki kombe la mbunge
Konyagi ikikabidhi msaada wa tshs. mil. 5 kwa Hanang Education trust




No comments:
Post a Comment