header

nmb

nmb

Thursday, September 29, 2011

Warsha ya mabadiliko ya Tabianchi na Jinsia

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Eng Ngosi Mwihava akisalimiana na Mshauri Muelekezi Taasisi ya{IUCU}Bw Francois Rogers Mara Baada ya Kufungua Warsha ya Mkakati wa Mabadiliko ya Tabianchi na Jinsia kulia Msaidizi Mshauri Mwelekezi{IUCU}Bi Lorena Aguilar Warsh Imefanyika kwenye Hotel ya JB jengo la Benjamin Mkapa Mjini Dar es Salaam.
Baadhi ya Washiriki wa Warsha ya Mkakati wa Mabadiliko ya Tabianchi na Jinsia wakimsikiliza Mgeni Rasmi Naibu katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Eng Ngosi Mwihava{pichani hayupo}Warsha iliyofanyika Jengo la Benjamini Mkapa kwenye Hotel ya JB

No comments:

Post a Comment