header

nmb

nmb

Wednesday, December 16, 2015

WAZIRI MKUU ATEMBELEA OFISI ZA CCM LUMUMBA



 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimkaribisha kwenye Makao Makuu ya Chama, Ofisi Ndogo CCM Lumumba,Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Mhe.Majaliwa Kassim Majaliwa.
 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa akisalimiana na Katibu wa NEC,Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk. Asha-Rose Migiro nje ya Ofisi Ndogo,Lumumba katikati ni Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
  Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa akisalimiana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM kutoka wilaya ya Simanjiro Mhe. Christopher Ole Sendeka nje ya Ofisi Ndogo, CCM Lumumba.

No comments:

Post a Comment