header

nmb

nmb

Sunday, March 28, 2010

NIKIWA MOSHI MJINI KWA AJILI YA MAHITAJI YA KIJIJINI NILIKUTANA NA WANA PR WAANDISHI WA HABARI MKOANI KIRIMANJARO AMBAPO WALINIFARIJI


Kutoka kushoto Ni. Maleli Venans wa Kituo cha Radio ya Moshi FM, Zephania Renatus Mwakilishi wa Radio Free Afrika (RFA) Mie Katikati Mzee wa PR, Rodrick Makundi ambaye yuko mafunzoni katika Magazeti ya Uhuruu na Mazlendo, Pia kituo cha MOSHI FM. Wa mwisho ni Mkongwe KIJA ELIAS ambaye ni Mshika kamera wa kituo cha STAR TV

No comments:

Post a Comment